Thursday, March 14, 2013

DIAMOND: PENNY SASA SIO TU MPENZI WANGU, ANAELEKEA KUWA MAMA WATOTO WANGU




AMNUNULIA GARI LENYE THAMANI YA SHILINGI MILLIONI 15.
NI KWAAJILI YA MIZUNGUKO YA KLINIK, OFFISIN, NA KWINGINEKO.
ASEMA SI VIZURI KUGOMBANIA PRADO AU GARI LA MAMA NASEE.
Baada ya kukana kutokuwa na uhusiano wa kimapenzi na mtangazaji wa Tv Penny katika moja ya interview aliyoifanya na kipindi xha xxl, leo hii kupitia kwa Gossip Cop wa u heard ya xxl Diamond amekubali kuwa ni kweli Penny ndio mpenzi wake na anatarajia mtoto nae (Penny ni mja mzito), na ameamua kumnunulia gari kwa ajili ya kumsaidia kwenye mizunguko ya kliniki ofisini na shughuli zingine
" yaaa thatsssssss, unajuaaaaaa, mmmmhhhhh, yah thats true thats true unajua sa sio tu ni mpenzi wangu, anaelekea kuwa mama watoto wangu, kwasababu ya mizunguko ya kwenda clinik na nini ikawa sio vizuri kujitia kwenye madaladala au kuanza kugombania prado  hiyo hiyo au achukue gari ya mama Naseeb au nini unajua, kwahiyo nikaona nivizuri nikimnunulia gari yake yeye ambayo atakua anaendea clinik na sehem zingine"
kama unakumbuka 23 Feb 2013, tukupa story kuhusiana na kile alichokisema Diamond kuhusu uhusiano wake wa sasa na mtangazaji wa DTV Penny, ambapo alisema si kweli hawana uhusiano wowote na picha zilizokuwa zikionekana ni picha kutoka kwenye movie ambayo wanaifanya...
trararantaraaaaaaaaa.....movie ndio hiyooooooo trela ishatoka, tusubiri movie nzima pale Diamond Jr ataka[pozaliwa..

Wednesday, July 18, 2012

Niwakati wa manjozi huu kwa sisi wote watanzania hii ni kutokana na ajali liyotokea huko zanziba ni baada ya meli iliyozama.meli hiyo inakadiriwa ilikuwa na watu miambili.Kweli ni kipindi kigumu kwa ndugu zetu wa tanzania visiwani.Mungu awapatie ujasiri katika kipind hiki  kigumu.

Wednesday, July 4, 2012


Ndugu zangu hii ndio hali  halisi iliyo katika masoko yetu mengi hapa nchin Tanzania,inasikitisha sana kwani  hii hali ni  hatari kwa mlaji wa bidhaa zinazouzwa eneo hili,jaman wahusika tafadhari shughulikieni hili kwani linaweza leta magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu.