Wednesday, July 18, 2012

Niwakati wa manjozi huu kwa sisi wote watanzania hii ni kutokana na ajali liyotokea huko zanziba ni baada ya meli iliyozama.meli hiyo inakadiriwa ilikuwa na watu miambili.Kweli ni kipindi kigumu kwa ndugu zetu wa tanzania visiwani.Mungu awapatie ujasiri katika kipind hiki  kigumu.

No comments:

Post a Comment